Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 28:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nitawakusanya na kuwaleta Waisraeli kutoka katika mataifa yote ambamo walitawanywa. Hivyo nitawafanya watu wa mataifa waone kuwa mimi ni mtakatifu. Watu wa Israeli wataishi katika nchi yao ambayo mimi nilimpa mtumishi wangu Yakobo.

Kusoma sura kamili Ezekieli 28

Mtazamo Ezekieli 28:25 katika mazingira