Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 28:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Ulikaa Edeni, bustani ya Mungu.Ulipambwa kwa kila namna ya johari,akiki, topazi, yaspi, zabarajadi, berili,sardoniki, johari ya rangi ya samawati, almasi na zumaridi.Ulikuwa na mapambo ya dhahabu.Yote uliwekewa tayari siku ulipoumbwa.

Kusoma sura kamili Ezekieli 28

Mtazamo Ezekieli 28:13 katika mazingira