Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 25:13 Biblia Habari Njema (BHN)

basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema: Nitanyosha mkono dhidi ya nchi ya Edomu na kuwaua watu wote na wanyama. Nitaifanya kuwa ukiwa kutoka mji wa Temani hadi mji wa Dedani, watu watauawa kwa upanga.

Kusoma sura kamili Ezekieli 25

Mtazamo Ezekieli 25:13 katika mazingira