1. Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:
2. “Wewe mtu! Wageukie Waamoni, ukatoe unabii dhidi yao.
3. Waambie Waamoni: Sikilizeni neno la Bwana Mwenyezi-Mungu: Nyinyi mlifurahia kuona maskani yangu ikitiwa unajisi, nchi ya Israeli ikiangamizwa na watu wa Yuda wakipelekwa uhamishoni.