Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 23:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

2. “Wewe mtu! Palikuwa na binti wawili, wote wa mama mmoja.

3. Walipokuwa vijana tu, wakiwa wanakaa kule Misri, wakakubali matiti yao kutomaswa, wakapoteza ubikira wao, wakawa malaya.

Kusoma sura kamili Ezekieli 23