Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 22:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Makuhani wao wanavunja sheria zangu, na kukufuru vyombo vyangu vitakatifu. Hawapambanui kati ya vitu vitakatifu na vitu visivyo vitakatifu, wala hawawafundishi watu tofauti kati ya mambo yaliyo najisi na yaliyo safi. Wameacha kuzishika sabato zangu, na kunifanya nidharauliwe kati yao.

Kusoma sura kamili Ezekieli 22

Mtazamo Ezekieli 22:26 katika mazingira