Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 20:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnapoendelea kutoa tambiko zenu na kuwapitisha watoto wenu motoni mnajitia unajisi mpaka leo hii. Je, nitaulizwa shauri nanyi, enyi watu wa Israeli? Lakini, kama niishivyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu naapa kwamba sitakubali kuulizwa shauri nanyi.

Kusoma sura kamili Ezekieli 20

Mtazamo Ezekieli 20:31 katika mazingira