1. Mungu aliniambia niimbe utenzi huu wa maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli:
2. Mama yenu alikuwa simba wa faharimiongoni mwa simba wengine.Alikaa kati ya simba vijana,akawalisha watoto wake.
3. Alimlea mtoto mmojawapo wa watoto wake,mtoto huyo naye akawa simba kijana hodari.Akajifunza kwa mama yake kuwinda,akawa simba mla watu.
4. Mataifa yakapiga mbiu ya hatari dhidi yake,wakamnasa katika mtego wao,wakampeleka kwa ndoana mpaka Misri.