Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mtu mwovu akiachana na dhambi zake zote alizotenda, kama akishika kanuni zangu zote, akatenda yaliyo ya haki na sawa, huyo hakika ataishi, hatakufa.

Kusoma sura kamili Ezekieli 18

Mtazamo Ezekieli 18:21 katika mazingira