Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 18:19 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini mnauliza, ‘Kwa nini mtoto asiadhibiwe kwa sababu ya dhambi za baba yake?’ Mtoto akitenda yaliyo ya haki na sawa, kama akiwa mwangalifu kuzingatia kanuni zangu zote, basi, huyo hakika ataishi.

Kusoma sura kamili Ezekieli 18

Mtazamo Ezekieli 18:19 katika mazingira