Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 17:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Waambie kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi:Kulikuwa na tai mmoja mkubwa sanaaliyekuwa na mabawa makubwa,yenye manyoya marefu mengiyenye rangi za kila aina.Tai huyo aliruka mpaka mlimani Lebanoni,akatua juu ya kilele cha mwerezi;

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:3 katika mazingira