Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 17:19 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema, kama niishivyo, kwa vile amekidharau kiapo alichoapa kwa jina langu na agano langu akalivunja, hakika nitamwadhibu vikali.

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:19 katika mazingira