Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 16:33-35 Biblia Habari Njema (BHN)

33. Kwa kawaida wanaume huwalipa malaya, lakini wewe umewalipa wapenzi wako wote, ukiwahonga waje kwako toka pande zote upate kuzini nao.

34. Katika umalaya wako hukufanya kama wanawake wengine: Hakuna aliyekubembeleza ili uzini naye bali wewe ulilipa fedha badala ya kulipwa.

35. “Sasa basi, ewe malaya, lisikie neno langu, mimi Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 16