Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 14:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wowote mmojawapo wa Waisraeli au mgeni yeyote akaaye katika Israeli, anapojitenga nami na kuanza kuziabudu sanamu za miungu kwa bidii na dhambi hiyo ikawa kizuizi kati yangu naye, halafu akamwendea nabii ili kujua matakwa yangu, basi, mimi Mwenyezi-Mungu mwenyewe, nitamjibu mtu huyo.

Kusoma sura kamili Ezekieli 14

Mtazamo Ezekieli 14:7 katika mazingira