Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 14:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, sema nao uwaambie kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema: Mtu yeyote miongoni mwa Waisraeli anayekubali sanamu za miungu zimtawale moyoni, na kuiruhusu miungu hiyo kumwelekeza kutenda dhambi, kisha akaja kumwomba shauri nabii, atapata jibu kutoka kwangu ambalo litazifaa hata sanamu zake nyingi za miungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 14

Mtazamo Ezekieli 14:4 katika mazingira