Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 12:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Waambie watu wa nchi hii, kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema juu ya wakazi wa Yerusalemu ambao bado wamo nchini Israeli, kwamba watakula chakula chao kwa hofu na watakunywa maji yao kwa kufadhaika, kwani nchi yao haitakuwa na kitu, kwa sababu kila mkazi ni mdhalimu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 12

Mtazamo Ezekieli 12:19 katika mazingira