Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 1:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipokuwa wanakwenda, nilisikia sauti ya mabawa yao; sauti ya mvumo huo ilikuwa kama ile ya maji mengi, kama sauti ya ngurumo kutoka kwa Mungu wa majeshi, na kama kelele ya jeshi kubwa. Waliposimama, walikunja mabawa yao.

Kusoma sura kamili Ezekieli 1

Mtazamo Ezekieli 1:24 katika mazingira