Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 1:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo siku ya tano ya mwezi wa nne, mwaka wa thelathini, nilikuwa Babuloni kwenye mto Kebari miongoni mwa wale watu waliopelekwa uhamishoni. Basi, mbingu zilifunguka, nikaona maono ya Mungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 1

Mtazamo Ezekieli 1:1 katika mazingira