Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 9:30-32 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Barua hiyo waliandikiwa Wayahudi wote, na nakala zake kupelekewa mikoa yote 127 ya utawala wa Ahasuero. Barua hiyo iliwatakia Wayahudi amani na usalama,

31. na kuwahimiza wao na wazawa wao waadhimishe sikukuu za Purimu kwa wakati wake maalumu, kama vile walivyokuwa wanazikumbuka sheria za kufunga wakati wa kuomboleza. Maagizo haya yalitolewa na Mordekai, Myahudi, pamoja na malkia Esta.

32. Amri yake Esta ikathibitisha mambo hayo ya Purimu; ikaandikwa kitabuni.

Kusoma sura kamili Esta 9