Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 9:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutokana na sababu hii, Wayahudi wakaao vijijini na katika miji midogo huadhimisha siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari kuwa sikukuu ya furaha, na kupelekeana zawadi hali wale waishio katika miji mikubwa huadhimisha siku ya kumi na tano ya mwezi wa Adari kama siku ya mapumziko, wakapelekeana pia zawadi.

Kusoma sura kamili Esta 9

Mtazamo Esta 9:19 katika mazingira