Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 9:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, ilipofika, siku ambayo tangazo la mfalme lingetekelezwa, na maadui wa Wayahudi walitarajia kuwashinda Wayahudi, iligeuzwa kuwa siku ya ushindi kwa Wayahudi dhidi ya adui zao.

Kusoma sura kamili Esta 9

Mtazamo Esta 9:1 katika mazingira