Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 8:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwaweza kuwaandikia Wayahudi lolote mpendalo. Tena mwaweza kuandika kwa jina langu na kutumia mhuri wa kifalme, kwa sababu tangazo ambalo limetolewa kwa jina la mfalme na kupigwa mhuri wa mfalme, haliwezi kubatilishwa.”

Kusoma sura kamili Esta 8

Mtazamo Esta 8:8 katika mazingira