Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 8:5 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ukipenda, ewe mfalme, na kama unanijali na ukiona inafaa, tafadhali, toa tangazo la kufutilia mbali mipango ambayo Hamani alikuwa ameamuru itekelezwe. Mipango hiyo ni ile ya mwana wa Hamedatha, mzaliwa wa Agagi, aliyopanga ili kuwaangamiza Wayahudi wote katika mikoa yote.

Kusoma sura kamili Esta 8

Mtazamo Esta 8:5 katika mazingira