Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 8:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa njia ya nyaraka hizi mfalme aliwaruhusu Wayahudi katika kila mji kukusanyika ili kuyalinda maisha yao. Walikuwa na ruhusa ya kuharibu, kuua bila huruma na kuangamiza kundi lolote la watu au mkoa, lenye kuwashambulia kwa silaha pamoja na wanawake na watoto wao, na kuziteka nyara mali zao.

Kusoma sura kamili Esta 8

Mtazamo Esta 8:11 katika mazingira