Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 8:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyohiyo, mfalme Ahasuero alimkabidhi malkia Esta mali yote ya Hamani, adui ya Wayahudi. Esta akamjulisha mfalme kwamba Mordekai ni jamaa yake. Basi, tangu wakati huo, Mordekai akaruhusiwa kumwona mfalme.

Kusoma sura kamili Esta 8

Mtazamo Esta 8:1 katika mazingira