Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 7:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Harbona, mmoja wa wale matowashi waliomhudumia mfalme, akasema, “Hamani amethubutu hata kutengeneza mti wa kumwulia Mordekai ambaye aliyaokoa maisha yako, ewe mfalme. Mti huo, wenye urefu wa mita ishirini na mbili, bado uko huko nyumbani kwake.” Hapo mfalme akaamuru, “Mwulie Hamani papo hapo.”

Kusoma sura kamili Esta 7

Mtazamo Esta 7:9 katika mazingira