Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 7:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akasimama kwa hasira, akatoka chumbani kwenye karamu ya divai na kwenda nje kwenye bustani ya ikulu. Hamani alipoona kwamba mfalme amenuia kumwadhibu, alibaki nyuma kumsihi malkia Esta ayasalimishe maisha yake.

Kusoma sura kamili Esta 7

Mtazamo Esta 7:7 katika mazingira