Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 7:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku ya pili, walipokuwa wanakunywa divai, mfalme akamwuliza tena Esta, “Sasa, malkia Esta, unataka nini? Niambie, nawe utapata. Ombi lako ni nini? Hata kama ni nusu ya ufalme wangu, utapewa.”

Kusoma sura kamili Esta 7

Mtazamo Esta 7:2 katika mazingira