Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 6:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hamani alipoingia ndani, mfalme akamwuliza, “Je, nimfanyie nini mtu ambaye ningependa sana kumtunukia heshima?” Hamani akafikiria moyoni mwake: “Ni nani huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia sana heshima? Bila shaka ni mimi.”

Kusoma sura kamili Esta 6

Mtazamo Esta 6:6 katika mazingira