Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 6:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akauliza, “Kuna ofisa yeyote uani?” Ikawa wakati huo Hamani alikuwa ameingia katika ua wa nje wa ikulu; alikuwa amekuja kwa mfalme kuomba Mordekai auawe kwenye mti wa kuulia ambao alikuwa amekwisha mtayarishia.

Kusoma sura kamili Esta 6

Mtazamo Esta 6:4 katika mazingira