Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipokuwa wanakunywa divai, mfalme akamwuliza tena Esta: “Unataka nini? Niambie, nawe utapata. Ombi lako ni nini? Hata kama ni nusu ya ufalme wangu, utapewa.”

Kusoma sura kamili Esta 5

Mtazamo Esta 5:6 katika mazingira