Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 4:16-17 Biblia Habari Njema (BHN)

16. “Nenda ukawakusanye pamoja Wayahudi wote waliopo mjini Susa. Fungeni, msile wala msinywe kwa siku tatu, usiku na mchana, kwa ajili yangu. Na mimi na watumwa wa kike wangu tutafanya vivyo hivyo. Kisha, nitamwendea mfalme, ingawa ni kinyume cha sheria. Kama ni kuuawa, na niuawe.”

17. Basi, Mordekai akaenda zake na kufanya kama Esta alivyomwambia.

Kusoma sura kamili Esta 4