Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)

“Watumishi wote wa mfalme na raia wa mikoa yote wanajua ya kwamba mtu yeyote yule akiingia katika ua wa ndani na kumwona mfalme bila kuitwa, huyo ni lazima auawe. Anayeweza kunusurika ni yule tu ambaye mfalme atamnyoshea fimbo yake ya dhahabu ili kumsalimisha. Kumbe mimi sijaitwa na mfalme, yapata mwezi mzima sasa.”

Kusoma sura kamili Esta 4

Mtazamo Esta 4:11 katika mazingira