Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 3:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Matarishi walizipeleka nyaraka hizo kwa kila mkoa katika utawala huo. Tangazo hilo lilisema kwamba kwa siku moja tu, yaani siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili uitwao Adari, Wayahudi wote – vijana kwa wazee, wanawake kwa watoto, wote lazima wauawe, waangamizwe na kufutiliwa mbali, na mali zao zote zichukuliwe.

Kusoma sura kamili Esta 3

Mtazamo Esta 3:13 katika mazingira