Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati uliwadia wa Esta kwenda kwa mfalme. Huyo, binti Abihaili, binamu ya Mordekai, na ambaye alilelewa na Mordekai, hakuomba chochote zaidi ya kile alichopangiwa na Hegai, towashi mwangalizi wa wanawake wa mfalme. Kila mtu aliyemwona Esta, alipendezwa naye.

Kusoma sura kamili Esta 2

Mtazamo Esta 2:15 katika mazingira