Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya saba ya karamu hiyo, mfalme Ahasuero, akiwa amejaa furaha kutokana na divai aliyokuwa amekunywa, aliwaita matowashi saba waliomhudumia yeye binafsi: Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkasi.

Kusoma sura kamili Esta 1

Mtazamo Esta 1:10 katika mazingira