Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 8:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilimwona akimsogelea yule kondoo dume. Alikuwa amemkasirikia sana yule kondoo dume, hivyo akamshambulia kwa nguvu na kuzivunja zile pembe zake mbili. Yule kondoo dume hakuweza kustahimili. Alibwagwa chini na kukanyagwakanyagwa, wala hapakuwa na yeyote wa kumwokoa katika nguvu zake.

Kusoma sura kamili Danieli 8

Mtazamo Danieli 8:7 katika mazingira