Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 2:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara kile chuma, udongo wa mfinyanzi, shaba, fedha na dhahabu, vyote vikavunjika vipandevipande na kuwa kama makapi ya mahali pa kupuria nafaka wakati wa kiangazi. Upepo ukavipeperushia mbali kisibakie hata kipande kimoja. Lakini lile jiwe lililoivunja ile sanamu likageuka kuwa mlima mkubwa na kuijaza dunia yote.

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:35 katika mazingira