Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 2:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Danieli akamwendea Arioko aliyekuwa ameteuliwa kuwaangamiza wenye hekima wa Babuloni, akamwambia, “Usiwaue wenye hekima wa Babuloni, ila nipeleke mimi mbele ya mfalme, nami nitamweleza maana ya ndoto yake.”

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:24 katika mazingira