Agano la Kale

Agano Jipya

Amosi 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Na atakapokuja mjomba wa aliyekufa kuitoa maiti nje aichome, akamwuliza yeyote atakayekuwako ndani pembeni mwa nyumba, “Je kuna mtu mwingine pamoja nawe?” Naye atamjibu, “La! Hamna!” Naye atamwambia, “Nyamaza kimya! Tusilitaje hata jina la Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili Amosi 6

Mtazamo Amosi 6:10 katika mazingira