Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 9:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yoramu mfalme wa Israeli akaamuru akisema, “Tayarisha gari.” Nao walitayarisha gari lake. Kisha Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazia mfalme wa Yuda waliondoka kila mmoja akipanda gari lake, wakaenda kukutana na Yehu. Walimkuta katika uwanja wa Nabothi Myezreeli.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 9

Mtazamo 2 Wafalme 9:21 katika mazingira