Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 9:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mjumbe huyo alipokwenda alikutana na Yehu na kumwambia, “Mfalme anauliza: Kuna amani?” Yehu akajibu, “Kwa nini unauliza kuhusu amani? Wewe geuka ufuatane nami!” Mlinzi juu ya mnara akasema, “Mjumbe amewafikia, lakini harudi.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 9

Mtazamo 2 Wafalme 9:18 katika mazingira