Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 9:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mfalme Yoramu alikuwa amerudi Yezreeli ili apone majeraha aliyopata wakati wa kupigana vitani na mfalme Hazaeli wa Aramu. Yehu aliwaambia maofisa wenzake; “Ikiwa mtakubaliana nami, mtu yeyote asitoke Ramothi kwenda Yezreeli kupeleka habari hizi.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 9

Mtazamo 2 Wafalme 9:15 katika mazingira