Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 8:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Hazaeli akapakia zawadi za kila aina ya mazao ya Damasko kiasi cha mizigo ya ngamia arubaini na kumpelekea Elisha. Alipofika kwa Elisha alimwambia, “Mtumishi wako, Ben-hadadi, mfalme wa Aramu amenituma kwako; yeye anauliza, ‘Nitapona ugonjwa huu?’”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 8

Mtazamo 2 Wafalme 8:9 katika mazingira