Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 8:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Gehazi alipokuwa anamweleza mfalme jinsi Elisha alivyofufua mtu aliyekufa, mwanamke huyo alitoa ombi lake kwa mfalme. Gehazi akasema, “Ee mfalme; huyu ndiye mwanamke ambaye Elisha alimfufua mwanawe!”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 8

Mtazamo 2 Wafalme 8:5 katika mazingira