Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 8:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme Yoramu akarudi mjini Yezreeli ili apate kutibiwa majeraha aliyoyapata huko Rama, alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu. Naye Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda alimwendea Yoramu mwana wa Ahabu huko Yezreeli, kwa sababu alikuwa mgonjwa.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 8

Mtazamo 2 Wafalme 8:29 katika mazingira