Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 8:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sababu Ahazia alikuwa mkwe wa jamaa ya Ahabu, naye alifuata mwenendo wa jamaa hiyo ya Ahabu, alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile jamaa ya Ahabu walivyofanya.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 8

Mtazamo 2 Wafalme 8:27 katika mazingira