Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 8:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Hazaeli akamwuliza, “Bwana wangu, mbona unalia?” Elisha akamjibu, “Kwa sababu ninajua maovu ambayo utawatendea watu wa Israeli. Utateketeza ngome zao kwa moto, na kuwaua vijana wao, utawapondaponda watoto wao na kuwararua wanawake waja wazito.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 8

Mtazamo 2 Wafalme 8:12 katika mazingira