Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 8:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Elisha alikuwa amemwambia mwanamke aliyeishi Shunemu ambaye alikuwa amemfufua mwanawe, “Ondoka, na jamaa yako, uhamie ugenini kwa sababu Mwenyezi-Mungu ameleta njaa itakayokuwamo nchini kwa muda wa miaka saba.” Akamshauri ahame aende mahali pengine.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 8

Mtazamo 2 Wafalme 8:1 katika mazingira