Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakoma wale wanne walipofika pembeni mwa kambi, waliingia ndani ya hema moja, wakala na kunywa vile walivyopata humo, wakachukua fedha, dhahabu na nguo, wakaenda kuzificha. Wakaingia katika hema nyingine na kufanya vivyo hivyo.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:8 katika mazingira